Vinara wa mabao ligi kuu 2025/26 baada ya mechi 24

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd May 2026


Vinara wa mabao ligi kuu 2025/26 baada ya mechi 24

Kiungo mshambuliaji wa Azam Fc Feisal Salum 'Fei Toto' bado anaongoza mbio za kuwania kiatu cha dhahabu msimu huu akifikisha mabao 12.

Fei Toto alifunga bao lake la 12 jana kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons ambao Azam Fc waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Kiungo mshambuliaji wa Yanga Allan Okello nae akafunga mabao mawili jana akifikisha mabao 9 sawa na mchezaji mwenzake wa Yanga Prince Dube ambaye pia ana mabao 9.

Hii hapa orodha ya nyota 10 vinara;


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.