Minziro aibukia Fountain Gate

Joel JJ By Joel JJ β€’ 10th April 2026


Minziro aibukia Fountain Gate

Klabu y Fountain Gate imemtangaza Fredy Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akisaidiwa na Makocha Wasaidizi Mathias Wandiba na Aboubakar Francis.

Minziro amejiunga na Fountain Gate akichukua nafasi ya aliyekuwa Kocha Mkuu Mohamed Laizer ambaye ameondoka kunako klabu hiyo kwa makubaliano ya pande mbili.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.