Yanga, Singida BS viwanjani ligi kuu leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th May 2026


Yanga, Singida BS viwanjani ligi kuu leo

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi tatu zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Singida Black Stars watshuka dimba lao la nyumbani, Airtel mapema saa 10 kuikabili Mtibwa Sugar.

Mabingwa watetezi Yanga nao watakuwa na kibarua kigumu mbele ya Coastal Union katika mchezo utakaopigwa saa 12:15 jioni.

Maafande wa JKT Tanzania watakamilisha raatiba ya leo majira y saa 2:30 usiku pale watakapowakabili Mbeya City.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.