Singida BS yataja kikosi kinachoelekea Zanzibar kushiriki Muungano Cup

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st April 2026


Singida BS yataja kikosi kinachoelekea Zanzibar kushiriki Muungano Cup

Walima alizeti wa Singida BS leo wanaelekea visiwani Zanzibar kushiriki michuano ya kombe la Muungano inayotarajiwa kuanza rasmi leo.

Singida BS itacheza mechi robo fainali siku ya Alhamisi dhidi ya Mlandege Fc.

Kikosi cha wachezaji 29 wanaelekea Zanzibar kushiriki michuano hiyo.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.