Mbeya City yamfuta kazi Mexime baada ya kipigo dhidi ya Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th April 2026


Mbeya City yamfuta kazi Mexime baada ya kipigo dhidi ya Yanga

Klabu ya Mbeya City imemfuta kazi Kocha Meckie Mexime na makocha wasaidizi baada ya kipigo cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa KMC Complex.

Hicho kilikuwa kipigo 'kizito' cha pili mfululizo baada ya kuvurumishwa mabao 5-1 na Singida BS kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora kombe la CRDB.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.