Chama aweka rekodi Ligi Kuu 2025/26

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th May 2026


Chama aweka rekodi Ligi Kuu 2025/26

Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chama amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo nne mfululizo za nyota wa mchezo ligi kuu ya NBC msimu huu.

Chama amechukua tuzo za nyota wa mchezo katika mechi dhidi ya Yanga, JKT Tanzania, Tanzania Prisons na Mashujaa Fc.

Katika mechi hizo Chama amefunga mabao matano na kutoa pasi mbili za mabao.

Mpaka sasa Chama mefunga mabao manane huku akitoa pasi nne za mabao.

Hii ni rekodi msimu huu kwa Chama kufikia mafanikio hayo.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.